Ukiwa ni muda wa mapumziko, hapo ndio viongozi wanapata kubadilishana machache,kufahamiana n.k yote huchanganywa pamoja. Kumbe hata kutembea wana JKM hushirikiana!!! Kweli yatupasa kufanya mambo mengi kwa upendo na umoja. Usimuache mwana JKM
Waweza kuichangia JKM kupitia MPESA 0767 856102 AIRTEL MONEY 0685 206610 NBC bank ; 1) Muhimbili catholic community seminars a/c 041201043445 ii) Muhimbili Catholic community a/c 041201043780