AGENDA ZA KIKAO CHA HALMASHAULI 6/07 Saa 2:00asbh-5:3asbh
JUMUIYA
KATOLIKI MUHIMBILI
KIKAO CHA HALMASHAURI
YA JKM, JUMAMOSI TRH 06/07/2013
saa2:00asbh – 5:30asbh
AGENDA ZA KIKAO
- MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI
2013/2014: Rejea pendekezo la bajeti lililoambatanishwa. Kikao kitajadili,
kurekebisha na kupitisha makadirio
hayo.( nakala za bajeti.zipo kwa wenyeviti wa matawi na viongozi jkm, ubao
wa matangazo ofisini, facebook na www.jkmmcc.blogspot)
- JKM GRAND FUND RAISING:
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
- UKARABATI WA OFISI ZA JKM: Tunaangalia uwezekano wa kufanya
ukarabati mkubwa wa ofisi za JKM wakati wa likizo. Gharama za ukarabati
kwa sehemu kubwa tunaweza pata ufadhili usiozidi millioni tano toka nje.
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
![*](file://localhost/Users/GERVASG/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0/clip_image001.gif)
Mchanganuo na contracta atafutwe mara tu mitihani ikimalizika.
- TAARIFA NA MIPANGO MBALIMBALI YA UTENDAJI WA KAMATI ZA JKM KWA
MWAKA UJAO:
Kila Kamati itatoa taarifa ya mipango yao kwa mwaka ujao; ikiwamo pamoja
na mabadiliko ambayo zimependekeza kufanya. Kikao kitatoa ushauri,
kupendekeza mabadiliko yoyote kama yapo na kupitisha.
- Hali ya Imani/Uhai katika matawi. Nafasi kwa wajumbe kutoa maoni, taarifa
na namna ya kuboresha changamoto mbalimbali na kiimani na kimaadili zilizopo
katika matawi yetu na mahala tunapoishi na kupendekeza utatuzi wake.
- Tathmini ya utendaji na uendeshaji wa JKM. Ni fursa kwa wajumbe kutoa
maoni, kuhoji na kushauri juu ya mfumo na hali ya uendeshaji wa shughuli
mbalimbali za JKM katika hali zote; uongozi, fedha, chaguzi, sala n.k.
- MENGINEYO.
Toka kwa wajumbe na viongozi wengine.
Wajumbe ni viongozi wa
JKM, Matawi, Kamati ngazi zote pamoja na viongozi wa madarasa. Unakumbushwa
kuwahi ili kuanza na kumaliza kwa wakati.
Wako katika Kristo,
Alphonce M.K.M Nyalali
M/kiti
mdogo
0 comments:
Post a Comment