• A boat with beautiful sunset.
  • JKM GET TOGETHER
  • Amaizing sunrise moment

BAADHI YA MATUKIO MUHIMU YALIOTOKEA WAKATI WA MAOMBOLEZO YA KUMUAGA MPENDWA WETU BWANA ALPHONCE J MUSHI





SIKU YA MKESHA WA JUMANNE ILIYOANDALIWA NA WANAJKM.

safari ya kutoka mochwali kuelekea kanisani siku ya mkesha

watu wakifungua sala za mkesha kwa rozari

baadhi ya watu siku ya mkesha

kwaya siku ya mkesha



baadhi ya mwanajkm siku ya mkesha 

mwenyekiti wa tawi la mt Agatha akitoa salamu

Mwongozaji wa ibada ya mkesha akitoa utaratibu wa kufuata
mwenyekiti wa jumiya ya mt Fransic akitoa salamu za rambirambi

mwakilishi kutoka jumuiya ya postgraduate akitoa salamu za rambirambi kwa familia  usiku wa mkesha

Misa ya kumuaga marehemu wetu Alphonce iliofanyika kanisani Muhimbili





padri aliyeongoza misa ya kumuaga marehemu

watumishi wa misa siku hiyo ya kumuaga mpendwa wetu alphonce

baadhi ya wanajkm wakiwa nje siku ya misa ya marehemu

kwaya (wakati wa misa ya mazishi)

Bahadhi ya masista walioshiriki kwenye misa ya mazishi











Padre akitoa baraka kwa marehemu



Familia alioiacha Marehemu


Mwenyekiti wa JKM akitoa salamu za rambirambi

Mchungaji wa kanisa la umoja akitoka salamu za rambirambi


Marehemu Alphonce mushi akiwa amelazwa kwenye jeneza.

Paroko akionye cheteso alichokiagiza marehemu wakati wa uhai wake, na kikatumika kwa mara ya kwanza kwenye misa yakumuaga.

mapadri wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu



ndugu mbalimbali wakitoa heshima na pole kwa familia ya marehemu

bahadhi ya wanajkm wakitoa heshima zao za mwisho

mwili wa marehemu ukitolewa kanisani tayari kwa ajiri ya safari ya kwenda moshi

baadhi ya watu walio ubeba mwili wa marehemu kutoka kanisani



Add caption

mwili wa marehemu  ukiingizwa kwenye gari dogo tayari kwa safari


SHARE ON:

Hello guys, I'm Tien Tran, a freelance web designer and Wordpress nerd. Sed ut perspiciatis unde omnis iste natus error sit voluptatem accusantium doloremque laudantium, totam rem aperiam, eaque ipsa quae.

    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment